
Timu ya soka ya
TOTTENHAM HOTSPUR leo imeweka wazi kuwa hawakulidhishwa na maamuzi ya
FA ya uingereza Kuitupilia mbali RUFANI yao kuhusu kuchezwa tena kwa mechi yao dhidi ya
WEST HAM UTD ,na ni kama walihujumiwa.
kutokana na tukio la kuwekewa sumu katika chakula siku ya mechi yao dhidi ya
West ham utd,
TOTTENHAM HOTSPUR waliomba mechi yao iahilishwe na kupangiwa tarehe nyingine kwani wachezaji walikuwa wameathiliwa na sumu hiyo,ikiwa ni mchana na muda mfupi kabla ya mechi hiyo.
katika hali ya kusikitisha
FA walikataa ombi hilo na hata jana waliitupa rufani ya
TOTTENHAM HOTSPUR na kwataka
TOTTENHAM HOTSPUR waendelee na taratibu za mechi hiyo na kutia timu.
baada ya mabishano juu ya uamuzi huo ,yaliyopelekea mechi kuchelewa kwa dk20,kocha wa
TOTTENHAM HOTSPUR mdachi
MARTIN JOL aliamua kutia timu uwanjani,huku ikisemwa kuwa wachezaji
10 wakiwa ni waathilika wa sumu hiyo.
leo
mwenyekiti wa T.Spurs
Daniel Levy alisema
"ni wazi kuwa tumesikitishwa na kuhuzunishwa kwa lililotokea...lakini hatujashangazwa...."lakini
Daniel Levy hakusema ni kwanini anaona na kusema kuwa "..
hawajashangazwa.." lakini akionekana kuwa amekatisha tamaa kwa hilo.
Tukio la "
kula" au "
kuwekewa " chakula chenye sumu kwenye ligi kuu Uingereza na hata ulaya,ni jabo geni sana,na hasa inapotokea ushindani wa nafasi flani katika ligi,linakuwa tokio la ajabu zaidi.
Ikumbukwe kuwa
TOTTENHAM HOTSPUR walikuwa wanagombania nafasi ya kucheza
LIGI YA MABINGWA mwakani.
Matokeo kati ya mechi hizo mbili yalikuwa hivi...TOTTENHAM HOTSPUR 1 west ham 2arsenal fc 4 wigan 2Pia
ARSENAL FC walikuwa wanaitaka nafasi hiyo...ya nne
SASA JE ..??Hizi zilikuwa ni hujuma na fitina katika kuipata nafasi hiyo????AU ILIKUWA NI AJALI YA KAWAIDA????naomba maoni yako ....
WE UNASEMAJE..???ZAIDI BONYEZA HAPA.../FOR MORE CLICK HERE..kuhusu rufani yao soma hapa../for the
TOTTENHAM HOTSPUR'S APPEAL cklic here